MICHAEL MTANZANIA

ONESTEPMEDIATZ

ATLECTICO MADRID YATWAA UBINGWA EUROPA


Atletico Madrid players lift the Europa League trophy.
Kwenye fainali ligi ya europa champions league cluba ya Merseleile imekubali kichapo cha bao 3-0 dhidi ya Atlectico Madrid mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Groupama Stadium majira ya saa 9:45 siku.

Fernando Torres is at the centre of the Atlético celebrations on his last appearance for the club.

Magoli ya atlectico Madrid yamewekwa kimyani na mshambuliaji wake Antonio greyzmani katika dakika ya 21 na dakika ya 49 huku gabi akimalizia goli la kuwanyong’onyeza marseleile katika dakika ya 89 na kumalizika kwa dakika 90 kwa matokeo ya 3-0.

Antoine Griezmann amekuwa shujaa wa Atletico Madrid baada ya kuwatupia wenyeji wa ufaransa mabao mawili na kupelekea timu klabu yake kushinda mara ya tatu katika msimu wa tisa.
Atlectical wanafikisha kombe la tatu ligi ya europa tangu walipochukua mwaka 2010 kisha mwaka 2012  



Post a Comment

0 Comments