MICHAEL MTANZANIA

ONESTEPMEDIATZ

PAMOJA NA USHINDI WA 5-0 MASHABIKI WA ARSENAL WAMSHABULIA WENGA

Pamoja na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Lincoln katika Kombe la FA, mashabiki wa Arsenal wanaonekana wanataka kilekile wanachotaka nacho ni Kocha Arsene Wenger kuachia ngazi.



Mashabiki wameendelea kuandamana mitaani wakiwa wameanzisha kampeni mpya waliyoibandika jina la “Wexit”.
Wexiti ni muunganiko wa maneno mawili, Wenger na Exit ikiwa ni sehemu ya wao kuonyesha sasa wako siriaz wanataka Wenger aondoke.

Post a Comment

0 Comments