MICHAEL MTANZANIA

ONESTEPMEDIATZ

Mange Kimambi Afunguka Haya Baada ya Mwigulu Nchema Kutaka Askari Aliyemuonyesha Bastola Nape Kukamatwa...!!!

Ahsante Mwigulu., naamini mkuu hatokutumbua sababu alietoa bastola hakuwa Daudi Bashite... Ingekuwa ni Daudi Bashite alietoa Bastola Alafu wewe ukaagiza Hatua zichukuliwe ungeondoka kaka. Haki vile ingekuwa Mtoa Bastola ni Daudi Bashite Alafu ukato agizo hili saaa hivi ningekuwa nachangisha michango ya Farewell party yako!!

Post a Comment

0 Comments