MICHAEL MTANZANIA

ONESTEPMEDIATZ

Fahamu Maajabu ya Nywele Ambayo Ni Vigumu Kuyajua Katika Hali ya Kawaida..!!!



Maajabu haya ya nywele! Usipeleke mawazo yako kwenye yale majina yake kwamba zote ni nywele lakini zinatofautiana majina kutokana na mahali zilipo(ota)

Maajabu ya nywele ninayotaka kuzungumzia ni haya

-akili hulinganishwa na nywele kwenye muktadha wa methali za kiswahili

-nywele hutumika kama malighafi bora kabisa kwenye ulimwengu wa giza

-nywele huendelea kuota kwa muda fulani hata baada ya mwili kufa

-nywele hubaki bila kuharibika hata baada ya mwili kuoza kabisa

-rohochafu mapepo hata baadhi ya majini hupenda kukaa kwenye nywele ndio maana baadhi ya vichaa wakinyolewa tu hupata nafuu

Kwa akina dada zangu unapovaa wigi halisi la nywele za mtu unabeba usisoyajua hasa kama mwenyewe keshatangulia kaburini

Post a Comment

0 Comments